
………………………………………………………………………………...
Wakati yakiwa yamebakia masaa machache mpaka muda wa kufungwa kwa dirisha la usajili barani ulaya kufungwa, kocha wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha rasmi kwamba klabu yake haitomsaini kiungo wa klabu ya Schalke Julian Draxler
"Usajili wa Draxler umetengenezwa na magazeti, na sio mimi. Ataendelea kuwepo Schalke," Wenger amewaambia maripota muda mchache uliopita.
http://www.shaffihdauda.com/
Post a Comment