Mjumbe wa kamati kuu chadema na mbunge wa arusha mjini akiongea kwa maskitiko makubwa leo katika mkutano wa hazara jimbo la kalenga kata ya maboga kijiji cha Kiponzelo akiona mtoto ambaye anaumri kama wa mwanae akiwa katika hali hiyo huku ikiwa mbunge aliekuwepo alikua waziri wa fedha mtoto huyo hajui kitu kina itwa shule au darasa.



Post a Comment