TASWIRA ZA KAMPENI YA UCHAGUZI JIMBO LA CHALINZE KUPITIA CHADEMA


Makamanda wakiwa wamekwama kupita kwenye barabara wakielekea kwenye kampeni za Ubunge Jimboni Chalinze.


Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimb la Chalinze Ndugu Mathayo Torongey akibadilishana mawazo na wanakijiji Jimboni Chalinze.


Katibu wa CCM Kata ya Kimange Bwana Haji aliondoka CCM na kujiunga na CHADEMA huku akikabidhiwa kadi yake na Makamu Mkiti Said Issa Mohamed.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WORLD OF TODAY Published.. Blogger Templates
Back To Top