ZIARA ZA KINANA KUNA AJENDA YA SIRI ATUA SUMBAWANGA LEO KUANZA ZIARA YA SIKU 21 MIKOA YA RUKWA, KATAVI NA KIGOMA


Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishuka kwenye Ndege, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga baada ya kuwasili leo kwa ajili ya kuanza ziara ya siku 21, katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Kigoma


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa, Hypolitus Matete, akimlaki Kinana (kulia) Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga, leo. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa, Lahel Ndegeleke

Chipukizi wa CCM, Sharifa Tamim akimvisha skavu Kinana Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana akipita katika paredi la Chipukizi baada ya kulakiwa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana akiwasalimia viongozi mbalimbali Uwanja wa Ndege wa Sumbawanja, anayesalimia (kushoto) ni Mjumbe wa NEC, Ali Karume

Kinana akimsalimia Mwenyekiti wa CCM Sumbawanga mjini, Emmanuel Kilindu, baada ya kuwasili Uwanja wa Sumbawanga, Kati ni Mzee wa Chama, Clisant Msindakaya

Kinana akisalimia wananchi Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana na Karume wakiaga wananchi katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana na Karume wakifurahia ngoma, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana akiwaaga wananchi waliompokea Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga

Kinana akiwasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Rukwa kuzungumza na Kamati ya Siasa ya mkoa

Kinana akifurahia jambo na Mzee wa Chama, Chrisant Mzindakaya nje ya Ofisi ya CCM mkoa wa Rukwa. Picha zote na Bashir Nkoromo w

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WORLD OF TODAY Published.. Blogger Templates
Back To Top