.jpg)
Na mshurukuru Mungu kwa kunipa afya na uzima mpaka leo na mpaka kufikia hapa tulipofika na kuweza kuona miaka zaidi ya hamsini ya uhuru na miaka hamsini ya Muungano na mpaka kufikia hatuwa ya kuweza kupata katiba mpaya au mchakato wa kuandika katiba mpya,* *Na wewe Bwana michuzi nashukuru kwa kazi yako unayoifanya ya kutupa matukio yanayotokea uko nyumbani kwa video na kwa picha,Mungu akurinde na akupe uzima na Afya.* *Bwana michuzi wazungu wanasema damu ni nzito kuliko maji na kubomoa ni rahishi lakini kujenga ni kazi, nayasema haya sababu Tanzania ya leo inapoelikea kuna njia a...BOFYA HAPA KUENDELEA
Post a Comment