MNYIKA Aiumbua serikali ya CCM Mbele ya wanachuo,chuo kikuu cha dodoma na mbele wana kijiji cha ng'ong'ona. katika mkutano wa chama cha CHADEMA

Dodoma,leo CCM imeumbuka mbele ya wanakijiji wa ng'ong'ona na wanachuo wa chuo kikuu cha dodoma, baada ya kuelezea mambo yanayo husu serikali tatu na kuiponda sera ya CCM ya serikali mbili,
Mbaya zaidi bajeti ya wizara ya maji imeeleza kuwa mradi wa maji katika kijiji cha ng'ong'ona umekamilika na maji yanatoka kitu ambacho wanakijiji walikikataa na kushangazwa na jambo hilo

John mnyika akiwa anaongea na wanafunzi wa udom alipokuwa anaingia katika mkutano








Mbunge wa cuf kutoka zanziber akiutubia wananchi na wanachuo kikuu cha dodoma

akiwahasa umuhimu wa serikali tatu katika katiba mpya




wananchi/wanachuo kikuu cha dodoma wakifuatilia mkutano wa chadema, chini ni Mh john mnyika akifafanua jambo, muhimu alikuwa anaeleza jinsi ccm ilivyo mzigo kwa watanzania











Makamanda na wakereketwa wakifuatilia mkutano




Mbunge chadema akieleza umuhimu wa serikali tatu




Mnyika akiwa anaelezea jinsi CCM inavyo tupiana vijembe kuwa mawaziri wa ccm ni mzigo hii ni kufuatiwa na kauli ya NAPE ambae ni mwenezi wa chama cha CCM Kauli hiyo alihitoa Tabora
























Chini ni mnyika akihiumbua serikli kwa kudanganya wanachi kupitia bajeti ya maji kuwa katika kijiji cha ng'ong'ona manisipaa ya dodoma kuwa maji yapo na mradi umekamilika kitu ambacho kimekataliwa na wanakijiji wa ng'ong'ona




Mh mnyika akijibu maswali ya wanakijiji



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WORLD OF TODAY Published.. Blogger Templates
Back To Top