Afande Sele: Wabunge Wengi wa Tanzania Wanavuta Mmea



 
Afande Sele kafunguka kupitia ‪#‎YouHeard‬ ya Power Breakfast Clouds Fm na kusema kuwa wabunge wengi wa Tanzania wanamfuata na kumuomba 'Mmea' wakidhania kuwa yeye bado anavuta. "Mimi huwa nawaelekeza kwa washikaji zangu nnaowajua kisha wao wanaenda kuchukua"

Pia amedai kuwa kuna nchi zilizoendelea na zimepitisha matumizi ya 'mmea' na zinaingiza ushuru wa kutosha kupitia mimea hiyo.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WORLD OF TODAY Published.. Blogger Templates
Back To Top