
Hakuna Mwanaume wala Mwanamke 2nd hand/Used kwamba hafai...Kama hafai kwako kuna mtu kwake huyo mdada ni Malkia...Kama hafai kwako,kuna mdada anamtamani amfanye awe mfalme wake..
Binadamu hana Mshale wa kuonyesha kilomita ngapi katembea au ana listi ya watu mia ngapi!
Kuna watu wametumika kwelikweli,shusha engine mara 6 na kumwaga oil nyeusi,ila wameolewa na kutulizwa ndani..Wewe unayejiona mpya mpya unanukia Nylon bado unamanga manga...Haijalishi wewe ni Mpya au Used,when ur perfect match arrives, everything else about Past will be history!
By Wastara on Instagram
Post a Comment