Katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),Dr.Wilbroad Slaa amesema serikali nzima na Baraza la Mawaziri linapaswa kujiuzulu na kwamba kitendo cha kujiuzuru kwa mawaziri wanne tu hakitoshi na badala yake amesema Pinda kama "kiranja" mkuu anapaswa kuwajibika.
![](//4.bp.blogspot.com/-2-I6lTJLfmo/UrayjCagY4I/AAAAAAAADbQ/qXJip5JFGLE/s320/SLAA.jpg)
Dr.Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mkutano wa hadhara huko mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-2-I6lTJLfmo/UrayjCagY4I/AAAAAAAADbQ/qXJip5JFGLE/s320/SLAA.jpg)
Dr.Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mkutano wa hadhara huko mkoani Tabora
Post a Comment