Kwa hili Dr. Magufuli ndo anatakiwa kuwa mwakilishi wa CCM 2015: apiga kambi Morogoro kusimamia ujenzi daraja la Dumila lililosombwa na maji!



JAMAA AKIWA KWENYE MTAMBO!!
Dr. Magufuli aenda kupiga kambi Morogoro ama kusimamia mwenyewe ujenzi wa Daraja la Dumila lililopo mkoani Morogoro ambalo ni kiungo muhimu cha barabara ya Dodoma – Morogoro lililosombwa na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia tarehe 22.01.2014 na kusababisha magari kutopita kabisa ama yanayotoka upande wa Dodoma au Morogoro, mbaya zaidi hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo.
Baadhi ya picha za Waziri Magufuli aliyepiga Kambi darajani hapo:



Waziri Magufuli akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Tanroads





Waziri wa Ujenzi akikagua maeneo yaliyoharibika






ENEO LA DARAJA LILIPOHARIBIKA



JAMAA AKIWAPA MAELEKEZO MAFUNDI



UJENZI UKIENDELEA KWA SPIDI



JAMAA AKIWAPA HI MAFUNDI WANAO ENDELEA NA KAZI


Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright WORLD OF TODAY Published.. Blogger Templates
Back To Top