Abdul
Adam, Mtoto wa Spika wa Bunge wa zamani Chifu Adamu Sapi Mkwawa,
akimpongeza mgombea wa CCM katika Uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga,
Iringa Vijijini, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa
kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya Ifunda, Februari 27, 2014.
Wananchi
wakinyoosha mikono kuunga mkono kuwa mgombea wa CCM anafaa, wakati wa
mkutano wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya
Ifunda, Februari 27, 2014.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba akionyesha makada wa CCM,
Alphonce John (kushoto) na Musa Tesha, walionusurika kuuawa na watu
wanaodaiwa kutumwa na Chadema kwa mmoja kumwagiwa tindikali na mwingine
kutobolewa jicho kwenye kampeni zinazohusu udiwani na Ubunge, katika
maeneo ya Igunga na Kahama, alipokuwa akieleza fuji za Chadema, wakati
wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya
Ifunda, Februari 27, 2014.
Alfonce aliyetobolewa jicho Kahama akizungumza jukwaani.
Mwigulu akihutubia, wakati wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya Ifunda, Februari 27, 2014.
Mwigulu
(4th) na mgombea wakitroti na Green Guard, wakati wa mkutano wa
uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya Ifunda,
Februari 27, 2014.
Katibu
wa CCM, wilaya ya Mufindi, Miraji Mtaturu, alionyesha mbao zenye
misumari inayodaiwa kutegwa njiani na Chadema, kwa nia ya kudhuru
msafara wa mgombea wa CCM ktk jimbo la Kalenga.
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa, akishauriana jambo na Mwenyekiti wake Joyce Msavatavangu
Mjumbe
Kamati Kuu ya CCM, Pindi Chana, akitema cheche jukwaani, wakati wa
mkutano wa uzinduzi rasmi wa kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya
Ifunda, Februari 27, 2014.
Godfrey Mgimwa-Mgombea wa CCM uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa












Post a Comment